KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, January 1, 2013

KOCHA MPYA WA SIMBA ATUA DAR






Katibu wa Simba, Evodius Mtawala (kushoto) akiongozana na kocha mpya wa klabu hiyo, Patrcik Liewig na mjumbe wa kamati ya utendaji ya Simba, Manembe baada ya kocha huyo kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius
Nyerere, Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment