KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, January 22, 2013

YANGA YAMZAWADIA NSAJIGWA

MJUMBE wa kamati ya utendaji ya Yanga, Abdalla Bin Kleb akimkabidhi mchezaji Shadrack Nsajigwa bahasha yenye sh. milioni 1.5 kutokana na kuwa mchezaji aliyeitumikia klabu hiyo kwa miaka mingi na pia kuwa mfano wa kuigwa na wenzake. Makabidhiano hayo yalifanyika wakati wa mkutano mkuu wa klabu hiyo uliofanyika jana kwenye bwalo la maofisa wa polisi, Oysterbay, Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Ndege)

No comments:

Post a Comment