KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, August 27, 2012

YANGA YAREJEA DAR KUTOKA RWANDA

Baadhi ya wachezaji wa timu ya soka ya Yanga wakiwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam mara baada ya kurejea nchini kutoka Rwanda walikokwenda kwa ziara ya mechi mbili za kirafiki kwa mwaliko wa Rais Paul Kagame wa nchi hiyo. (Picha na Emmanuel Ndege wa blogu ya liwazozito na rusha roho)

No comments:

Post a Comment