
Lahaula! Mchezaji wa timu ya mpira wa mikono ya Angola akimkaba koo mchezaji wa Uingereza wakati wa mechi ya michuano ya Olimpiki

Huu ndio uwanja wa Olimpiki wa London, ambao umeigharimu serikali ya Uingereza mabilioni ya pesa.

Wachezaji wa mpira wa wavu wa ufukweni wakipongezana wakati wa mechi yao dhidi ya Russia

Maria Sharapova wa Russia akishangilia ushindi alioupata katika mechi yake ya leo
No comments:
Post a Comment