KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, August 29, 2012

TUSKER KUDHAMINI KOMBE LA CHALENJI KWA MIL 700

Katibu Mkuu wa CECAFA, Nicholas Musonye akipokea kombe la ubingwa wa michuano ya Tusker Chalenji, Mkurugenzi wa Masoko wa Uganda Breweries, Lemmy Mutahi.


Meneja Masoko wa Uganda Breweries, Lemmy Mutahi (katikati) akimkabidhi mfano wa hundi ya pesa kwa Katibu Mkuu wa CECAFA, Nicholas Musonye. Kulia ni Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka la Uganda (FUFA), Livingstone Kyambadde.


Katibu Mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Nicholas Musonye akitaniana na mwasisi wa baraza hilo, Kezekia Ssegwanga Musisi wa Uganda kabla ya makabidhiano ya mkataba wa michuano ya Kombe la CECAFA- Tusker Chalenji Cup 2012 kwenye hoteli ya Serena mjini Kampala, Uganda juzi.


No comments:

Post a Comment