KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, August 27, 2012

MASHABIKI RWANDA WAGOMBEA JEZI ZA YANGA





Baadhi ya mashabiki wa soka wa Rwanda mwishoni mwa wiki iliyopita walijikuta wakigombea jezi zenye nembo ya klabu ya Yanga zilizokuwa zikigawiwa kwenye uwanja wa Amahoro wakati wa mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga na Polisi. Katika pambano hilo, Yanga iliichapa Polisi mabao 2-1. Picha hizi zimepigwa na Saleh Ally, Mhariri kiongozi wa gazeti la Champion.

No comments:

Post a Comment