KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, August 20, 2012

MSAMA AMPIGA TAFU ALFONCE MODEST

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akimkabidhi msaada wa sh. milioni moja mchezaji wa zamani wa klabu ya Simba na Taifa Stars, Alfonce Modest, ambaye anasumbuliwa na ugonjwa wa miguu. Modest alikuwa akihitaji fedha kwa ajili ya kumsaidia kupata matibabu. Wa pili kushoto ni Saleh Ally, Mhariri Kiongozi wa gazeti la Champion na Saidi Kilumanga, mtangazaji wa Channel 10 na Magic FM.


No comments:

Post a Comment