KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Saturday, August 11, 2012

MBWANA SAMATTA NDANI YA MKOKO WAKE

Mbwana Samatta mchezaji wa zamani wa Simba ambae kwa sasa makazi yake ni Congo Drc kwenye club ya Tp Mazembe, hii picha kaiweka facebook na hajaandika chochote kama ni lake au vp lakini mashabiki wake moja kwa moja wameanza kumpa pongezi.

No comments:

Post a Comment