

Katika shindano hilo, mrembo kutoka Wales, Sophie Elizabeth Moulds aliibuka mshindi wa pili wakati mrembo wa Australia, Jessica Michell Kahawaty alishika nafasi ya tatu.
Hii ni mara ya pili kwa mrembo kutoka China kutwaa taji hilo. Mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2007 wakati taji hilo liliponyakuliwa na Zhang Zilin.
No comments:
Post a Comment