
Manzese, Dar es Salaam, Madee akiimba jukwaani kuburudisha umati wa
wakazi wa morogoro waliofurika uwanja wa shule ya msingi uwanja wa ndege
kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo la kutoa
huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel. Huduma hiyo
itatambulishwa hivi karibuni katika mkoa wa Iringa, Arusha na Mwanza.

ya msingi uwanja wa ndege kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya airtel
Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano
kupitia Airtel. Huduma hiyo itatambulishwa hivi karibuni katika mkoa wa
Iringa, Arusha na Mwanza.

Meneja Mauzo wa Airtel kanda ya Pwani, Aminata Keita mara baada ya kuibuka
kinara wa kucheza ‘sebene’ la bendi ya Mashujaa wakati wa uzinduzi wa
huduma mpya ya Airtel Jiunge na Supa5 iliyofanyika jana kwenye uwanja wa
shule ya msingi-Uwanja wa ndege mkoani Morogoro. Airtel Jiunge na Supa 5
Ilizinduliwa kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam hivi karibuni.Ukitaka
kujiunga na huduma hiyo ANDIKA SMS YENYE NENO ‘WIKI’ AU WIKI
UTUME KWENDA 15548.

kununua moderm za Airtel zenye kasi ya 3.75G,shoto ni Meneja Mauzo wa
kampuni ya simu za mikononi ya Airtel-Morogoro,Aluta Kweka.

morogoro waliofurika uwanja wa shule ya msingi uwanja wa ndege
kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo la kutoa
huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel.huduma hiyo
itatambulishwa hivi karibuni katika mkoa wa Iringa, Arusha na Mwanza

wakazi wa morogoro waliofurika uwanja wa shule ya msingi uwanja wa ndege
kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo la kutoa
huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel. Huduma hiyo
itatambulishwa hivi karibuni katika mkoa wa Iringa, Arusha na Mwanza.
No comments:
Post a Comment