KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, June 29, 2012

WEMA AMPA ZAWADI OMOTOLA

Mcheza filamu wa kimataifa wa Nigeria, Omotola Jalade akijaribu kuvaa kanga aliyozawadiwa na mwenyeji wake, msanii nyota wa fani hiyo nchini, Wema Sepetu.

Msanii nyota wa filamu nchini, Wema Sepetu akimkabidhi zawadi ya kanga, viatu na shanga, mcheza filamu wa kimataifa wa Nigeria, Omotola Jalade muda mfupi kabla hajapanda ndege na kurejea kwao Nigeria juzi usiku. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya One Touch Solutions, Petter Mwendapole na katikati ni mwigizaji, Snura.

No comments:

Post a Comment