KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Saturday, June 23, 2012

ELLA KUIWAKILISHA MALAWI MISS EAST AFRIKA 2012

Mrembo atakayeiwakilisha Malawi katika mashindano ya Miss East Africa 2012 ametangazwa rasmi baada ya kuwashinda wenzake 39 waliojitokeza kutaka kuiwakilisha nchi hiyo katika mashindano hayo.
Mrembo huyo ni Elidas Ella Chirwa (22) mwenye urefu wa 1.82m na ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Malawi
Fainali za mashindano ya Miss East Africa 2012 zitafanjika tarehe 07 Septemba mwaka huu jijini Dar es salaam ambapo zitashirikisha nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Somalia, Djibouti, Eritrea, Sudan, Ethiopia, Malawi, Madagascar, Reunion, Comoros, Seychelles, na Mauritius.
Mashindano ya Miss East Africa yanaandaliwa na kumilikiwa na kampuni ya Rena Events Ltd ya jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment