KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, September 26, 2012

SIMBA WAENDA KAMBINI ZANZIBAR

Baadhi ya wachezaji wa klabu ya Simba wakiwa bandarini mjini Dar es Salaam juzi kabla ya kupanda boti kwenda Zanzibar kwa ajili ya kujiaandaa kwa mechi yao ya ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Yanga.

Baadhi ya wachezaji wa Simba wakielekea kupanda boti kwa ajili ya safari yao ya kwenda Zanzibar juzi.

No comments:

Post a Comment