KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, September 26, 2012

MANJI ATETA NA WAZEE NA VIJANA WA YANGA

Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yussuf Manji akisalimiana na wazee wa klabu ya Yanga kabla ya kuzungumza nao juzi makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yussuf Manji akiteta na wazee wa klabu hiyo juzi. (Picha zote na Emmanuel Ndege).
Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yussuf Manji akinong'onezana jambo na mmoja wa vijana wa klabu hiyo baada ya kukutana na kuzungumza nao.

No comments:

Post a Comment