KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Sunday, June 3, 2012

FLOYD MAYWEATHER AANZA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA MIEZI MITATU

Bondia Floyd Mayweather leo ameanza kifungo cha miezi 3 jela
alichohukumiwa mwezi Desemba mwaka jana kutokana na kuvunja sheria kwa
kufanya ugomvi. Wakati akielekea Jela Mayweather alisindikizwa na rafiki yake
kipenzi mwanamuziki 50 Cent.


Mayweather akitiwa pingu na polisi kuelekea kwenye karandinga.

"Nenda dogo nitakumiss kaka yako" 50 Cent na Mayweather.

Hiki ndio chumba atakachokaa Mayweather kwa miezi 3

Hizi ndio sare zake kwa kipindi chote atakachokaa jela.

No comments:

Post a Comment