KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Sunday, June 3, 2012

Buya atwaa taji la Miss Manyara 2012

Mshindi wa taji la Redds Miss Manyara 2012, Buya Ernesi (katikati) akiwa na mshindi wa pili Dalina Sikawa (kushoto) na mshindi wa tatu, Lucy Stephano mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mshindi wa taji hilo usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa CCM mjini
Babati.

No comments:

Post a Comment