KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Sunday, June 3, 2012

AZAM YAANIKA SILAHA ZAKE ZA MSIMU WA 2012/2013

Kikosi kamili cha Azam FC kwa ajili ya msimu ujao wa ligi wa 2012/2013 ni kama ifuatavyo:

Magolikipa ni Mwadini Ally, Deo Munishi 'Dida' Aishi Salum na Jackson Wandwi.

Mabeki wa pembeni kulia ni Ibrahim Shikanda na Erasto Nyoni na kushoto ni
Waziri Salum na Samih Haji Nuhu.

Mabeki wa kati ni Luckson Kakolaki, Said Moradi, Joseph Owino na Aggrey
Morris.

Viungo ni Kipre Bolou, Abdulhalim Humud, Himid Mao, Salum Abubakar,
Abdi Kassim Sadala, Ramadhani Selemani Chombo, Abdulghani Ghulam,
Ibrahim Rajab Jeba, Jabir Aziz Stima na Ibrahim Joel Mwaipopo.

Washambuliaji wa pembeni ni Kipre Tchetche, Mrisho Ngasa, Zahoro Pazi,
Khamis Mcha na George Odhiambo 'Blackberry'.

Washambuliaji wa kati ni Gaudence Mwaikimba na mchezaji bora wa Azam FC,

John Raphael Bocco
"Adebayor"

No comments:

Post a Comment