KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, June 1, 2012

Taifa Stars ikiwa mazoezini Abidjan



Wachezaji wa timu ya Soka ya Taifa, Taifa Stars wakijifua kwenye Uwanja wa kituo cha michezo mjini Abidjan juzi kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Ivory Coast inayotarajiwa kufayika kesho kwenye uwanja wa Felix Houphouet-Boigny.(Picha kwa hisani ya Bongostaz)

No comments:

Post a Comment