KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, June 1, 2012

Hasheem Thabeet aahidi kujenga uwanja wa kisasa wa kikapu


Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya Kumbukumbu ya Lord Baden Powell, Kanali Idd Kipingu akizungumza machache mbele ya wageni wake waliofika mapema leo shuleni hapo kwa ajili ya kuangalia namna ya kujenga uwanja wa mchezo wa mpira wa kikapu.

Mchezaji wa Kimataifa wa Tanzania, anayechezea timu ya Portland Trail Blazers ya Marekani kwenye Ligi ya NBA, Hasheem Thabeet akizungumza jambo mbele ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Lord Baden Powell Memorial High School,wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa kiwanja cha mpira wa kikapu shuleni hapo mapema leo Bagamoyo,nje kidogo ya jiji la Dar,kulia ni Makamu wa Rais wa Shirikisho la mpira wa kikapu Tanzania, Phares Magesa.Hasheem Thabeet ameahidi kuwajengea uwanja wa mpira wa kikapu shuleni hapo.

US Embassy in Dar Es Salaam today hosted Hasheem Thabeet and TBF Vice President Phares Magesa who was accompanied by TBF Assistant Secretary General Michael Maluwe, TBF Treasurer Ms. Marry Mbaga.
The US Embassy thanked Hasheem for agreeing to conduct basketball clinics in Tanzania. During the event US Embassy in Dar donated 50 balls to be used at Under 17 basketball Clinic to be held in Arusha June 9-10, 2012.
Cultural Affairs Officer and first Secretary of the US Embassy in Dar Es Salaam Ms. Danna Banks handed over the balls to TBF Vice President Phares Magesa in the presence of NBA Player Hasheem Thabeet, Portland Trail Blazer Centre.
Also the US state department through US Embassy in Dar es Salaam has given a grant to support administrative cost of running the Arusha Clinic, the grant was signed today by Mr. Magesa and Ms. Banks at the Embassy.
The Arusha Clinic will be conducted by one of the very best US based coach details will be released later. After the event at the Embassy Hasheem and Mr. Magesa went to Lord Barden Powell High School in Bagamoyo.
Hasheem promised to support various school projects including building of modern basketball court for the school. On behalf of TBF we than Hasheem for this great initiative.Hasheem will tomorrow start his clinic for 200 kids from 6 regions to be held at Don Bosco grounds.
We call upon other organizations to join us in developing our youth through various programmes like youth clinics, basketball courts construction/refurbishment etc.
Thank you,
Phares Magesa

TBF Vice President.

No comments:

Post a Comment