KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, February 28, 2013

UTAMU WA LIGI KUU HATA KWA WATASHA

Raia hawa wa kigeni wakiwa kwenye Uwanja wa soka wa Mkwakwani mjini Tanga juzi wakishuhudia pambano la ligi kuu ya Tanzania Bara kati ya Coastal Union na Ruvu Shooting. Katika pambano hilo, timu hizo zilishindwa kutambiana baada ya kutoka suluhu. (Picha na Sophia Wakati)

No comments:

Post a Comment