KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, February 28, 2013

MASHINDANO YA KOMBE LA MPINGA YAANZA




Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Seleman Kova akidaka mpira ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa michuano ya Mpinga Cup inayowahusisha waendesha pikipiki maarufu kama Bodabado inayoanza rasmi leo kwa muda wa wiki moja. Mpinga cup imedhaminiwa na Airtel , Rotary Club, Mr price na Shoprite ikiwa na lengo la kutoa elimu ya usalama barabarani kwa waendesha pikipiki na kupunguza ajali barabarani . akishuhudia. Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama barabarani SACP. Mohamed Mpinga  
Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani SACP. Mohamed Mpinga akikagua timu kabla ya mechi kati ya Kawe Tiptop na Manzese leo wakati wa uzinduzi wa michuano ya Mpinga Cup, anayefata pichani ni Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando

No comments:

Post a Comment