KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, April 19, 2010

NDEGE YA ATC YAPATA AJALI



Ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATC) aina ya Boing 737 ikiwa katika uwanja wa ndege wa
Mwanza baada ya kupata ajali ilipokuwa ikitua uwanjani hapo juzi kutoka Dar es Salaam, ikiwa na abiria 46.

No comments:

Post a Comment