KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, April 30, 2010

BOB RAMOZA NA MREMBO WA TZ

BOB Ramoza (kushoto) akimuhoji mrembo wa Tanzania wa mwaka 2009, Miriam Gerard siku chache baada ya kuvishwa taji hilo katika shindano lililofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City mjini Dar es Salaam. Miriam alishindwa kung'ara katika shindano la dunia lililofanyika Afrika Kusini baada ya kutolewa hatua za awali.

No comments:

Post a Comment