KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, April 19, 2010



MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Nape Nnauye (kushoto) akimkabidhi sehemu ya msaada wa jozi moja ya jezi, Katibu wa CCM Tawi la Uhuru Publications Ltd (UPL), wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Abubakar Muna jana, mjini Dar es Salaam, kwa ajili ya timu ya soka ya Uhuru FC inayojiandaa kushiriki michuano ya NSSF itakayoanza kutimua vumbi mwanzoni mwa mwezi ujao. Wapili kushoto ni Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) tawi la UPL, Sophia Ashery na Nahodha Uhuru FC, Mussa Hassani

No comments:

Post a Comment