
Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange 'Kaburu' akizungumza jambo wakati wa makabidhiano hayo. Kulia ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe.

Mkurugenzi wa Sheria na Mahusiano wa TBL, Steven Killindo akimkabidhi mfano wa hundi ya sh. milioni 20, Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Geoffrey Nyange 'Kaburu' leo makao makuu ya TBL, Ilala mjini Dar es Salaam. Wengine ni George Kavishe, Meneja wa Kilimanjaro (kulia) na Katibu Mkuu wa Simba, Evodius Mtawala (kushoto).
No comments:
Post a Comment