KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, July 25, 2012

TBL yaimwagia Simba mil 20/-

Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange 'Kaburu' akizungumza jambo wakati wa makabidhiano hayo. Kulia ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe.

Mkurugenzi wa Sheria na Mahusiano wa TBL, Steven Killindo akimkabidhi mfano wa hundi ya sh. milioni 20, Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Geoffrey Nyange 'Kaburu' leo makao makuu ya TBL, Ilala mjini Dar es Salaam. Wengine ni George Kavishe, Meneja wa Kilimanjaro (kulia) na Katibu Mkuu wa Simba, Evodius Mtawala (kushoto).

No comments:

Post a Comment