KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, July 30, 2012

AZAM SASA YATANGAZA KUMUUZA NGASA

Siku chache baada ya mchezaji wa kimataifa wa Tanzania ,Mrisho Ngassa kuonekana akiwa amevaa jezi ya Yanga na kuibusu logo ya klabu hiyo, waajiri wake wa klabu ya Azam kupitia ukurasa wao wa mtandao wa kijamii wa Facebook wamesema yafuatayo.
Azam FCKlabu ya Azam FC inapenda kutoa taarifa rasmi kuwa baada ya baada ya mchezaji wetu Mrisho Ngasa kuonesha wazi kuwa na mapenzi na Yanga kwa kuivaa na kuipiga busu Logo ya Yanga, tuliwapa Yanga nafasi ya upedeleo ya kumnunua lakini hadi leo hakuna ofa iliyokuja toka Yanga. simba wametoa ofa na uongozi unatafakari ofa ya SimbaYanga.... Ngasa anauzwa $50,000 wadau wa Yanga tunajua mnampenda sana Ngasa... fikisheni ujumbe kwa uongozi wenu

No comments:

Post a Comment