KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Saturday, July 7, 2012

JOSE CHAMELEONE AFUNIKA U/TAIFA DAR

Jose Chameleone akiwaimbisha mashabiki wakati wa onyesho lake la jana lililofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Jose Chameleone akiimba huku akitembea wakati wa onyesho hilo

Jose Chameleone akiimba kwa hisia kali wakati wa onyesho hilo

No comments:

Post a Comment