KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, November 26, 2012

JB MPIANA ATUA DAR



MWANAMUZIKI JB Mpiana kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
JB Mpiana akisindikizwa kutoka nje ya uwanja wa ndege na baadhi ya wenyeji wake. Mwanamuziki huyo anatarajia kupamba onyesho la uzinduzi wa albamu ya bendi ya Mashujaa.

No comments:

Post a Comment