KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, May 18, 2010

SIMBA YAUNGURUMA RWANDA



MABINGWA wa soka wa Tanzania Bara, Simba jana walianza vyema michuano ya Kombe la Kagame baada ya kuichapa Atraco ya Rwanda mabao 2-1 katika mechi ya kundi C iliyochezwa kwenye Uwanja wa Amahoro mjini Kigali.

Mabao ya Simba yalifungwa na washambuliaji Robert Ssentongo na Mussa Hassan 'Mgosi', moja katika kila kipindi.

Simba inatarajiwa kuteremka tena dimbani kesho kupambana na Sofapaka ya Kenya, ambayo katika mechi ya ufunguzi iliicharaza URA ya Uganda mabao 3-0.

No comments:

Post a Comment