KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, May 14, 2010

KISS KURASINI KUSAKWA LEO


SHINDANO la kumsaka mrembo wa kitongoji cha Kurasini, linatarajiwa kufanyika leo kwenye ukumbi wa Equatorial Grill, uliopo Mtoni kwa Azizi Ali mjini Dar es Salaam. Shindano hilo linatarajiwa kuwashirikisha warembo saba. Pichani, warembo hao wakiwa na mratibu wa shindano hilo, Yason Mashaka (katikati), Sam Mshana (kulia) wa Mwasu Fashion na Zuwena Mohamed, mratibu mkuu. (Na mpiga picha wetu).

No comments:

Post a Comment