KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, May 18, 2010

HII NDIO YANGA BWANA!



Wana-Yanga wa zamani wanakwambia kwamba hii ndiyo Yanga Original, iliyokuwa imesheheni wachezaji mbalimbali wenye uwezo wa kufanya maajabu uwanjani. Je, unawakumbuka wachezaji hawa? Yoyote anayewakumbuka tunaomba atusaidie majina yao.

No comments:

Post a Comment