KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, October 31, 2011

Salha aitangaza vema TZ katika Miss World

Mrembo wa Tanzania, Salha Israel (kushoto) akiwa na baadhi ya washiriki wenzake wa shindano

la kumsaka mrembo wa dunia, wakipita jukwaani na vazi la ufukweni. Shindano hilo limepangwa kufanyika wiki ijayo mjini London, Uingereza.

No comments:

Post a Comment