KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, October 31, 2011

Miyeyusho azima ngebe za Matumla

Bondia Francis Miyeyusho akionyesha furaha ya hali ya juu baada ya kuvishwa mkanda wa ubongwa wa WBO na Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova baada ya kumdunda Mbwana Matumla kwa pointi katika pambano lao lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.


No comments:

Post a Comment