KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Saturday, October 8, 2011

Akina mama Kiabakari hawajalala

Akina mama wa Kiabakari wakiuza bidhaa kwa abiria waliokuwa wakisafiri kwa basi kutoka Mwanza kwenda Musoma. Biashara kubwa hapa ni ndizi, nyanya, vitunguu na zinginezo.

No comments:

Post a Comment