KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, May 7, 2012

TUNAKUKUMBUKA



SLEYUM MOHAMED ZAHOR (1922-2003)

HATIMAYE leo umetimiza miaka tisa tangu ulipofariki dunia mwaka 2003 baada ya kuugua kwa muda mrefu na kuzikwa katika makaburi ya Kigilagila, Kiwalani, Dar es Salaam.
Kifo chako kimetuachia pengo na upweke mkubwa. Tunazikosa simulizi zako, maono yako, ucheshi wako, busara zako na hekima zako.
Unakumbukwa sana na mke, Bibi Fatuma Rashid na watoto wako, Rashid, Pili, Amisa, Shani, Asha, Saumu, Nuru na Hilali pamoja na wajukuu zako wote.
Hakika sisi zote ni waja wa Mwenyezi Mungu na kwake lazima tutarejea. Tunaamini maandiko ya kwamba kila chenye roho, lazima kitaonja mauti.
Mungu ailaze roho yako mahali pema, peponi. Amin

No comments:

Post a Comment