KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, May 11, 2012

KARIBU MUME WANGU!



KAIMU Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini, Betty Mkwasa (kulia) akimkaribisha Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars, Charles Boniface Mkwasa kwenye hoteli ya Dodoma mjini Dodoma juzi. Mkwasa ni mume wa Betty. (Na mpiga picha wetu).

No comments:

Post a Comment