KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, May 28, 2012

DIAMOND AFANYA MAVITUZ BIG BROTHER AFRICA



Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul 'Diamond' mwishoni mwa wiki iliyopita alionyesha machejo ya aina yake wakati alipopewa nafasi ya kutumbuiza katika hafla ya kutoka kwa washiriki wawili wa shindano la Big Brother Africa.



No comments:

Post a Comment