KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, March 14, 2012

Wasanii wa Taruwa kazini



WASANII wa kikundi cha sanaa za maonyesho cha Taruwa wakionyesha umahiri wa kucheza ngoma wakati wa sherehe za ufunguzi wa michuano ya Kombe la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) zilizofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye uwanja wa klabu ya Sigara, Chang'ombe, Dar es Salaam. Kulia ni msanii mwingine wa kundi hilo akionyesha ufundi wa kupuliza filimbi kwa kutumia pua. (Picha na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment