KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Saturday, March 3, 2012

Simba yazindua vipindi maalumu vya TV






































































Hivi ndivyo ilivyokuwa siku klabu ya Simba ilipozindua vipindi maalumu vya kwenye televisheni, ambavyo vitakuwa vikionyeshwa mara moja kwa wiki kupitia luninga ya clouds. Hafla hiyo ilifanyika kwenye ukumbi wa Cleopatra uliopo kwenye jengo la Quality Plazza, barabara ya Nyerere, Dar es Salaam. Mgeni rasmi alikuwa Naibu Waziri wa TAMISEMI, Kassim Majaliwa.



No comments:

Post a Comment