KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, March 2, 2012

KIYOVU YAWASILI DAR



TIMU ya soka ya Kiyovu kutoka Rwanda imewasili nchini kwa ajili ya pambano lake la marudiano la michuano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Simba linalotarajiwa kuchezwa kesho kwenye uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kiyovu iliwasili nchini jana ikiwa na kikosi cha wachezaji na viongozi 25.

No comments:

Post a Comment