KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, March 29, 2012

Shangwe ya ushindi Uhuru SC

BAADHI ya wachezaji wa timu ya netiboli ya Uhuru wakifurahia kikombe walichokitwaa kwa kushika nafasi ya pili katika bonanza la vyombo vya habari lililoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) na kufanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye ufukwe wa Msasani, Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Samira Kiango, Anna Nyangasa, Jane Mihanji na Lilian Timbuka. (Picha na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment