KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, March 16, 2012

UFUNGUZI KOMBE LA NSSF ULIVYOKUWA

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudendia Kabaka (katikati) akimsikiliza kiongozi wa waamuzi, Winfrida Paul (kulia) wakati wa ufunguzi wa mashindano ya Kombe la NSSF. Kushoto kwa waziri ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani Dau.

Mwenyekiti wa kamati ya mashindano ya Kombe la NSSF, Rashid Zahor (kushoto) akisalimiana na Meneja wa TBC, Chacha Maginga wakati wa ufunguzi wa mashindano hayo uliofanyika wiki iliyopita kwenye uwanja wa klabu ya Sigara, Chang'ombe, Dar es Salaam.



Mwenyekiti wa kamati ya mashindano ya Kombe la NSSF, Rashid Zahor akisalimiana na mchezaji wa timu ya netiboli yaMwananchi wakati wa ufunguzi wa mashindano hayo uliofanyika wiki iliyopita kwenye uwanja wa klabu ya Sigara, Chang'ombe, Dar es Salaam. (Picha zote na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment