KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, February 23, 2012

Stars, DRC hakuna mbabe

Moja ya hekaheka zilizotokea kwenye lango la DRC wakati timu hiyo ilipomenyana na Taifa Stars jana katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka suluhu.

Uhuru Selemani (kulia) wa Taifa Stars akiwania mpira na Mampuya Kimwaki wa DRC timu hizo zilipomenyana jana katika mechi ya kirafiki ya kimataifa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka suluhu.





No comments:

Post a Comment