KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, February 16, 2012

MZEE GURUMO NA WANAWE




MWANAMUZIKI mkongwe, Muhidin Mwalimu 'Gurumo' (wa pili kushoto), akiongoza safu ya waimbaji wa bendi ya Msondo Ngoma wakati ilipotumbuiza katika ukumbi wa DDC Kariakoo, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Kutoka kushoto ni Eddo Sanga, Hassan Moshi na Juma Katundu. (Picha na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment