KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, March 9, 2011

Marlaw, Besta kufunga ndoa keshokutwa


Wanamuziki wawili wa muziki wa bongo fleva hapa nchini, Marlaw na Besta Jumamosi hii wanatarajia kuwa mwili mmoja kwa kufunga pingu za maisha.
Mmiliki wa blogu hii anawatakia kila la heri katika maisha ya ndoa,mtangulizeni Mungu katika ndoa yenu na mpendane,mvumiliane na kuheshimiana. Pia mawasiliano yawe nguzo yenu katika kudumisha urafiki wenu na mapenzi yenu.

No comments:

Post a Comment