KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, March 4, 2011

PAMBANO LA WATANI WA JADI LANUKIA

WACHEZAJI Jerryson Tegete (kulia) na Athumani Iddi 'Chuji' (kushoto) wa Yanga wakiwa mazoezini mjini Bagamoyo jana kwa ajili ya kujiandaa kwa pambano lao la ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Simba litakalochezwa keshokutwa mjini Dar es Salaam. (Na mpiga picha wetu)

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri akitoa maelekezo kwa wachezaji wake juzi wakati wa mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika juzi kwenye uwanja wa Fuoni, Zanzibar. (Picha na Haroub Hussein).

WACHEZAJI wa Simba wakiwa mazoezini juzi chini ya Kocha Patrick Phiri (kulia) kwenye uwanja wa Fuoni mjini Zanzibar. Simba inajiandaa kwa pambano lake la ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Yanga, litakalochezwa keshokutwa mjini Dar es Salaam. (Picha na Haroub Hussein)





No comments:

Post a Comment