KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, March 11, 2011

MISS UTALII 2011 APATIKANA

HUYU ndiye Adelqueen Njozi, Miss Utalii 2011. Alishinda taji hilo mwishoni mwa wiki iliyopita katika shindano lililofanyika kwenye hoteli ya Kiromo iliyopo Bagamoyo mkoani Pwani. Hapa alikuwa akizungumza na waandishi wa habari juzi kwenye ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo), Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment