KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, March 11, 2011

SURVIVALS SISTERS WAPEWA BAJAJ

RAIS Jakaya Kikwete juzi alitekeleza ahadi aliyotoa kwa wasanii wa kundi la muziki wa kizazi kipya la Survival Sisters baada ya kuwazawadia Bajaj kwa ajili ya kuwasaidia katika shughuli zao mbalimbali. Pichani, Kaimu Mnikulu Kassim Mtawa akikabidhi Bajaj hizo kwa wasanii hao, Irene Malekela (kushoto) na Ratifa Abdalla. (Picha ya Ikulu).


No comments:

Post a Comment