KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, March 17, 2011

UHURU SC KAZINI

Nahodha wa timu ya soka ya Uhuru, Mussa Hassan (kulia) akitoa mawaidha kwa wachezaji wa timu hiyo wakati wa mazoezi yaliyofanyika juzi kwenye uwanja wa shule ya msingi ya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Uhuru inayoundwa na wafanyakazi wa Radio Uhuru na Uhuru Publications Ltd, inajiandaa kwa michuano ya Kombe la NSSF. (Picha na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment