KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, March 9, 2011

Soka si uadui



WACHEZAJI Juma Kaseja (juu kushoto) wa Simba na Shadrack Nsajigwa wa Yanga wakipongezana mara baada ya pambano kati ya timu hizo kumalizika mwishoni mwa wiki iliyopita.

PICHA nyingine chini inamuonyesha mshambuliaji Emmanuel Okwi wa Simba na Isaack Boakye wa Yanga wakipozi katika picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment